Monday, 29 December 2014

Niongoze by Michael Yena

Niongoze hii safari kwani mimi niko tayari
Nishikilie Baba kimbilio langu imara
Bila weh siwezi make bila wewe mi siwezi
Bila weh siwezi make bila wewe mimi siwezi

El Shadai Mungu wangu
Unayejua mwanzo wangu na mwisho wangu
Kila hali ninayopitia unaitambua
Giza na mwanga kwako wewe ni sawa
Nakuhitaji usinicahe nikapotea Baba
Ulimwengu umejaa milima na mabonde

Kaa nami siku zote
Moyo wangu naweka mbele zako

Niongoze hii safari kwani mimi niko tayari
Nishikilie Baba kimbilio langu imara
Bila weh siwezi make bila wewe mi siwezi
Bila weh siwezi make bila wewe mimi siwezi

Kama yala atamanivyo maji ya mto
Ndivyo nasfi yangu inavyokutafuta
Niuone wema wako kwa kila hali
Nimetambua wema wako kwangu hauna kipimo
Wewe ni yule yule jana leo na milele
Kaa nami unifundishe safari ndefu niongoze

Kaa nami siku zote
Moyo wangu naweka mbele zako

Niongoze hii safari kwani mimi niko tayari
Nishikilie Baba kimbilio langu imara
Bila weh siwezi make bila wewe mi siwezi
Bila weh siwezi make bila wewe mimi siwezi

Yesu wewe ndiwe chaguo la moyo wangu
Kando na wewe mwingine simwoni
Nishike mkono karibu zaidi
Nataka niwe na wewe milele
Nishike mkono karibu zaidi
Nataka niwe na wewe milele

Niongoze hii safari kwani mi niko tayari
Nishikilie Baba kimbilio langu imara
Bila weh siwezi make bila wewe mi siwezi
Bila weh siwezi make bila wewe mimi siwezi

Niongoze hii safari kwani mi niko tayari
Nishikilie baba kimbilio langu imara
Bila weh siwezi make Bila wewe mi siwezi
Bila wewe mimi siwezi



Saturday, 20 December 2014

Bless my way by Alemba and Kanji

Do not lean in your own understanding
But in everything
My way

In my coming in and going out Father,(Bless my way)
In and out of season Father LORD I pray(Bless my way)
You de guide my steps and light my path(Bless my way)
Father LORD I pray morning night and day

Your word a say goodness and mercy shall follow me
Your blessings add and no sorrow
Your promises are yes and amen
We no walk by sight we a walk by faith
Me say ai

Don't forget to say glory
Don't forget to say honour
Don't forget to say glory

Today them got tomorrow them not them say
Oh my GOD
Today them got tomorrow them not them say
Oh my GOD
Father we bless Your name

In my coming in and going out Father(Bless my way)
In and out of season Father Lord I pray(Bless my way)
You de guide my steps and light my path (Bless my way)
Father Lord I pray morning, night and day

You bless my way every night and day
Never never never let me go astary
You no weak to save you no deaf to hear we call
Our sin makes us loose it all
Jesus enter in me heart and do the cleaning
Give me understanding me now a feeling
Give me wisdom me now a feeling
Jesus enter in me heart and do the cleaning
Forecast n a loose it all
Everyday me a tell you my God is so able
Capable stamp on your feet so stable

Even though things are getting harder
Hotter harder Bless your name
Even though are getting harder
Hotter harder Blesss

In my coming in and going out Father(Bless my way)
In and out of season Father Lord I pray(Bless my way)
You de guide my steps and light my path(Bless my way)
Father Lord I pray
Morning, night and day


You bless my way, my way
Every night and day my way
You bless my way my way
Every night and day
My way way way







Friday, 19 December 2014

Tosheka by MOG

Una nyumba nzuri una bibi mzuri mbona uko nje una randa?
Una toto zuri una bwana mzuri mbona uko nje una randa?
Kitu kizuri bwana wewe kamata (kamata)
Wacha tamaa ya fisi wewe ridhika(ridhika)
Kitu kizuri dada wewe kamata(kamata)
Wacha tamaa ya fisi wewe ridhika(weh)

Kila mtu anatamani pesa na mali yakutesa
Naomba Mungu minitosheke
Nisizidiwe na mawazo
Kila mtu anatamani pesa na mali yakutesa
Naomba Mungu minitosheke
Nisiuawe na mawazo

Hiyo kidogo hiyo kidogo tosheka nacho weh
Hiyo kidogo hiyo kidogo ridhika nayo weh
Hiyo kidogog hiyo kidogo tosheka nacho weh
Hiyo kidogo hiyo kidogo ridhika nayo weh

Una mali na mali ni ya nini?
Ninaipata nasiiridhiki
Nikikosa sina amani heeeh
Na afya ninayo nzuri na kazi nzuri maisha mazuri
Sijui mbona siridhiki

Oh Nikipata hiyooo ninataka ile
Nikipata ile ninataka ingine
Nikipata hiyooo ninataka ile
Nikipata ile ninataka ingine

Hiyo kidogo hiyo kidogo tosheka nacho weh
Hiyo kidogo hiyo kidogo ridhika nayo weh
Hiyo kidogo kiyo kidogo tosheka nacho weh
Hiyo kidogo hiyo kidogo ridhika nayo weh

Nataka kuridhika Baba niridhishe wewe
Nataka kuridhika Yesu nisaidie wewe

Toshe toshe toshe tosheka
Moyo wangu tosheka
Toshe toisheka
Mungu Baba niridhishe

Nikipata hiyooo ninataka ile
Nikipata ile ninataka ingine
Nikipata hiyoooo ninataka ile
Nikipata ile ninataka ingine


Wednesday, 5 November 2014

shuka by eunice njeri

Shuka utendee YESU Kenya tunakungoja
Shuka utendee YESU watu tunakungoja

Oooh na
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone

Jamii zilizotengana mayatima Baba
Viumbe vyote Yahweh wote tunakungoja
Jamii zilizotengana mayatima Baba
Nena neno moja wote tunakungoja

Heh na
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba

Wajane na wagonjwa matajiri wote
Dunia nzima Yaweh wote tunakungoja
Nena kwa sauti nena lako
Tutayari kusikiza wote tunakungoja

Ndio na
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba


Kama siku siku ya Pentekote
Shuka na moto wako ututembelee
Oh kama siku siku ya Pentekote
Shuka na moto wako ututembelee

Baba
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba


Thursday, 30 October 2014

Mganga by Jemimah Thiong'o

Nawatangazia mganga wangu YESU
Ayeyeyeye mganga wa kweli eh
Njoni nyote niwaonyeshe
Mimi nimemwona

Mganga (nimemwona eh)  Mganga (nimemwona)
Mganga wa waganga ni YESU
Mimi  nimemwona
Mganga (nimemwona eh)  Mganga (nimemwona)
Mganga wa waganga ni YESU

Nasema nimemwona  Mganga wa waganga
Anayeinamiwa na waganga wote
Hata na wachawi pia
Wanaleta madawa yao, hata na hirizi
Na wanatangaza maovu yote walotendea wanadamu
Huyu Mganga kazaliwa Bethlehemu
Kalelewa Nazareti
La ajabu ni mwana wa bikira
Nimemwona


Mganga (nimemwona)  Mganga (nimeona Mganga)
Mganga wa waganga ni YESU
Mimi Ye nimemwona
Mganga (nimeona Mganga)  Mganga (Hai Mganga YESU)
Mganga wa waganga ni YESU


Jina la huyu Mganaga kwa kweli lanishangaza
Kwa maana lina nguvu nyingi kama mganga mwenyewe
Lilipotajwa na Petero Tabitha kafufuka
Kiwete njiani akatembea kwa ajili ya hilo jina
Paulo na Sila wakasifu kwa hilo jina
Milango ya gereza ikafunguka kwa jina la Mganga YESU
Nimemwona


Mganga (nimemwona)  Mganga (Hai nimemwona)
Mganga wa waganga ni YESU
Mimi ndio nimemwona
Mganga (nimeona Mganga)  Mganga (Hai Mganga YESU)
Mganga wa waganga ni YESU


Nguo za huyu Mganga hata nazo zina nguvu eh!
Mama aliyevuja damu alipenya katikati ya umati
Kaguza upinde wa nguo damu ikakatika
YESU akamwambia imani yako ndiyo imekuponya
Baada ya kusulubiwa heh! Nguo za huyu mganga
Hazingepasuliwa kwa bei yake zikapigiwa kura
Nimemwona

Heh! Nimeona Mganga
Amebadili maisha yangu
Ukiomba kwa jina lake majabu yanatendeka
Mganga wa kweli
Haiyeyeyye ah

Mganga (Nao wakimbia kwa waganga)  Mganga
 (Njoni Muone Mganga)
Mganga wa waganga ni YESU
Mganga Yesu
Mganga Mganga
(hakuitishi chochote)
Mganga wa waganga ni YESU
(Aliye mganga wangu)
Mganga Mganga
(Ukimwamini anakwambia)
Mganga wa waganga ni YESU
(Aliye Mganga wangu)
Mganga Mganga
(Imani yakuponya)
Mganga wa waganga ni YESU
(Ukimwamini akwambia)
Mganga Mganga
(Enda usitende dhambi)
Mganga wa waganga ni YESU
(Aliye mganga wangu)
Mganga Mganga
(Omba kwa jina lake aliye Mganga wangu)
Mganga wa waganga ni YESU
(Ukiomba kwa jina lake biashara zina nawiri)
Mganga Mganga
(Haya akuongeza imani)
Mganga wa waganga ni YESU










Wednesday, 22 October 2014

Usichoke by Ayzoh Levite





wimbo huu ni wako
baba yangu, mama yangu
kwako dada kijana
eiya nasema

Imepita miaka huku wangoja matokeo
Unajiuliza itakuwa vipi ei
Uliowadhamini wamekuweka kando
Eti kwa sababu hauna chako wewe
Usikate tamaa usiangalie nyuma
Mtazamie Yesu aliye na jawabu lako wewe

Usichoke endelea kungoja tu
Usichoke subiri kidogo mambo yatajipa wewe
Usichoke endelea kungoja tu
Usichoke Mola hachelewi tena
Hana chuki yeye

Bwanangu naomba unitegee sikio lako
Ninayokueleza yasije yakatoka moyoni mwako
Kama yawezekana yaandike vitangani mwako
Ama uyachore kwa wino yasije yakafutika
Huyu Bwana hachelewi wala hananga pupa
Kwa wakati ufaao yeye huja na
Kutekeleza mapenzi yake kwako


Usichoke endelea kungoja tu
Usichoke subiri kidogo mambo yatajipa wewe
Usichoke endelea kungoja tu
Usichoke Mola hachelewi tena
Hana chuki yeye


Usichoke mumy usichoke baba
Usichoke dada
Ndugu yangu usichoke kamwe
Usichoke usichoke Usichoke
Endelea kungoja Bwana wewe

Tuesday, 21 October 2014

Nainua macho yangu by masha mapenzi (psalm 121:1

Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba

Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba


Asema njoo njoo
Asema njoo kwake pumziko
Asema njoo njongea
Asema njoo kwake pumziko
Fadhili zangu ni za milele
Huba langu halina kikomo
Mimi ndimi simba wa Yudah
Mimi ndimi ngome yako


Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba

Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba


Heri awe nawe awe nawe
Heri awe nawe
Mambo yote shwari
Heri awe nawe awe nawe 
Mambo yote shwari
Mikononi mwake
Viumbe vyote vyamtukuza
Mchana kutwa usiku kucha
Yeye ndiye muweza yote
Hakuna limshindalo Mola


Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba

Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba

Nainua macho yangu
Nitazame
Nitazame milimani
Msaada
Msaada wangu weh watoka wapi eh
Ni kwa Baba ni kwa Baba




Wednesday, 1 October 2014

Ni wewe by Zaidi ya Muziki

Shalalalala eya oh shalalalala eya oh
Shalalala eya ooh ooh
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana

Watu wengi wameinuliwa fiti weh
Tena Mungu amewabariki fiti weh
Nina wonder mbona mimi siko fiti weh
Kwani nini nilifanya nina thinki weh
Nimetoa fungu zangu zote kumi weh
Nimetoa hizo zote bila chuki weh
Lakini bado na Baraka hazishuki weh

Nieleze mbona haunigusi weh


Nitazidi kuinua tu(weh) hata mambo yawe aje tu(weh)
Mungu nitakuinua tu(weh) sababu wewe ndiwe Mungu tu

Ni wewe, ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana

Mungu wangu weh wanitosha Ebenezer weh
Ei Mungu wangu weh wanitosha Ebenezer weh
Niliposota hata kuteseka magonjwa nayo yakaniokota
Rafiki zangu wakanitoroka Mungu wangu wewe hukuniacha ha(weh)


Nitazidi kuinua tu(weh) hata mambo yawe aje tu(weh)
Mungu nitakuinua tu(weh) sababu wewe ndiwe Mungu tu

Ni wewe, ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana

Hapa tumefika ni wewe sio kwa nguvu zetu ni wewe
Umekuwa mwaminifu wewe hakuna mwingine kama weh
Maisha ninayoishi mimi ah oh Muziki nayo fanya mimi aah oh
Favour nazopata zote aah oh
Hakuna, hakuna Mungu kama wewe

Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana

Nimepigana vita visivyo Mwokozi nikitumia nguvu zangu
Nguvu sina kama hazitoki kwako
Nasema ni wewe ni wewe wewe weh weiiii
Ooh uwo uwoooo

Nasema ni wewe tunajua ni wewe(nasema ni wewe)
Ninaimba ni wewe kila siku ni wewe
Mzeiya ni wewe Mbuyu ni wewe


Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana
Ni wewe ni wewe Bwana

Mbuyu ni wewe Msingi ni wewe
Ni wewe ni wewe ni wewe hee





Wednesday, 17 September 2014

Nilinde ya Makena based on Psm 91:2-4, John 10:10, 1 Pet 5:8

Nilinde nilinde nilinde

Mara ni kadhaa nilisikiza uongo wa adui
Hanitakii mema huyo ooo oo
Nimefunga masikio yangu kwa uongo ooo
Ni ukweli natafuta

Mara ni kadhaa adui ananiandama
Ombi langu Baba ni unilinde
Nilinde nilinde nilnde
Kutokana na maovu
Nilinde nilinde nilinde
Kutokana na mtego

uoo uoo unilinde Baba


Baba Baba Baba una nguvu kushinda yule mwovu
Mimi mwana wako naomba unifunike
Uvulini mwa mabawa yako unifiche unifiche
Mara ni kadhaa adui ananiandama
Ombi langu  baba ni
Baba nilinde
Nilinde kutokana na mtego

Nilinde nilinde kutokana na maouvu
Nilinde nilinde kutokana na mtego
Nilinde Baba, Nilinde Baba

Nilinde, nilinde, nilinde
Nilinde kutokana na maovu
Nilinde, nilinde, nilinde
Kutokana na mtego
Nilinde nilinde
Nilinde kutokana na mtego


Mara ni kadhaa nilisikiza uongo wa adui
Hanitakii mema huyo
Nimefunga masikio yangu kwa uongo
Ni ukweli natafuta
Nilinde, nilinde eeei eeei

Thursday, 14 August 2014

Ebenezer ya Denno

Heiyee Ebenezer
Pokea sifa, na utukufu na heshima

Elshadai Mungu unayeishi uonaye kila mahali
Upasuae maji kwenye jangwa 
Ninakuinua Baba

Wanyonge unawapa nguvu wanyeyekevu unawainua
Wewe kweli Mungu ni wa ajabu
Ninakutukuza Baba

Ebenezer nakupa sifa pekee Yako Unastahili
Ebenezer nakupa sifa pekee Yako Unastahili


Nilalapo hata niamkapoUmekuwa mlinzi wangu
Kila wakati umeniongoza
Ninakutukuza Baba
Marafiki waliponiacha eti kwa sababu mimi nina shida
Ulikuwa mfariji wangu Baba 
Ninakutukuza Baba


Ebenezer nakupa sifa pekee yako Uastahili
Ebenezer nakupa sifa Pekee  yako Unastahili


Nakupa sifa yeii
Milele milele 
UImeinuliwa juu Baba zaidi ya viumbe vyote

Wednesday, 2 July 2014

Tutembelee ya Jackie Kotira

Mungu Baba wa mbinguni, Hatuwezi bila wewe
Twaliita jina lako

Kama vile ulivyotenda Baba, Miujiza kwa wana Israeli
Bahari ya Shama yasikiza, amri yake Mungu Baba
Kama vile ulivyotenda Baba, Miujiza kwa wana Israeli
Maji yatoka kwenye mwamba, amri yako Mungu baba

Tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu

Si ajabu ulisema kwamba, Wakifuata amri na njia zako
Magonjwa ya Misri yasiwafuate, amri yake Mungu baba
Si ajabu uliwapigania, vita vyao walipotoka Misri
Maadui wote wakashindwa kwa amri yako Mungu Baba


Tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu

Weh ni Mungu usiyebadilika, jana leo hata milele
Umetenda mema hapo awali tuna hakika utatutembelea
Weh ni Mungu usiyebadilika, jana leo hata milele
Umetenda mema hapo awali tuna hakika utatute

Tembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu

Wednesday, 25 June 2014

Nguvu ya msalaba ya Eunice Njeri

Nguvu ya msalaba imeniweka
Dhabihu hiyo Mungu mwenyewe alitoa
Sababu anijali nguvu ya msalaba


Nimeoshwa nimetakaswa damu ya Yesu imeniokoa
Gharama yangu Yesu amelipa kwa mapigo yake mimi nimepona
Nimeokolewa nimekombolewa kwa damu Yako mi ni salama
Sina wasiwasi wala huzuni ndani yako ni salama

Nguvu ya msalaba imeniweka
Dhabihu hiyo Mungu mwenyewe alitoa
Sababu anijali nguvu ya msalaba


Nina sababu yakukupenda nina sababu kuwa ndani Yako
Maisha yangu nayatoa kwako maisha yangu nayatoa kwako
Naishi nina haki natembea ni halali kama si Yesu singelikuwa hai
Asante Bwana kwa wokovu wasiwasi sina tena mimi nina hakika ya uhai


Nguvu ya msalaba imeniweka
Dhabihu hiyo Mungu mwenyewe alitoa
Sababu anijali nguvu ya msalaba

Ukiona mimi naimba imba ni nguvu msalaba
Ukiona nikitembea ni nguvu msalaba
Ukiona mimi siendi hepi tena ni nguvu msalaba
Ukiona nikisifu nakuimba ni nguvu msalaba


Nguvu ya msalaba
Nguvu ya msalaba imeniweka
Dhabihu hiyo Mungu mwenyewe alitoa
Sababu anijali nguvu ya msalaba


Thursday, 29 May 2014

natafuta ya mercy njoki

Where am I ?
Where am I(Echo)
Who am I ?
Who am I (Echo)

You're the life I am living, You're the air I am breathing
But there's been a clog been going on for so long
This wasn't the plan wasn't the dream
Passing to others to carry me my strong exterior crumbles inside
What is seen is not what is

Where am I what is this place?
Who am I what is my name?
You put me here, You make it clear to me
Natafuta njia njia natafuta
Natafuta njia njia natafuta

So set up a beautiful show, I'm ashamed if others would know
All grown up with little to show for the days gone by
I keep trying, sometimes falling
I keep crying LORD I"m praying
I need to hear You

Where am I what is this place?
Who am I what is my name?
You put me here, You make it clear to me
Natafuta njia njia natafuta
Natafuta njia njia natafuta

I thought that by now I'd be somewhere
It feels like my life is going nowhere
You said don't give up just keep moving
But my heart is so broken and wounded


Thursday, 22 May 2014

liseme ya sara k

"Hamna jambo yeye asiloweza"

Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza?
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza?
Liseme, liseme, litaje , litaje
Kwani ni jambo lip hilo yeye asiloliweza
kwani ni jambo lipi hilo  yeye asiloliweza

Yeye ni baba wa yatima, yeye ni mume wa wajane
Oh kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza
Ooohoo Liseme liseme, litaje litaje
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza
Sema wewe kwani ni jmabo ;lipi hio yeye asiloliweza

Yeye ni mponyaji, yeye ni mkarimu
Mlinzi mfariji wa ajabu
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza
Yeye ni mponyaji yeye ni mkarimu
Mlinzi mfariji wa ajabu
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza

Liseme, liseme, litaje litaje
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza
Mama liseme
Liseme, liseme, litaje, litaje
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza
Baba liseme
Liseme, liseme, litaje, litaje
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza
Kwani ni jambo lipi hilo yeye asiloliweza

Tuesday, 29 April 2014

SOLDIER BY Mr. Vee

Naona mwangaza at the end of the road,
Even though the walk is tougher sijafa moyo
Natamani sana future and so I'm on the go
I'm never gonna give up I gotta keep hope alive

Eyes on the price lazima nifike
And with GOD on my side lazima nishinde
Uwo uwooo lazima ni fike fike
Uwo uwoo lazima nishinde

Coz I'm a soldier tuna tuna songa songa
Roho juu guide us Papa
Coz I'm a soldier tuna tuna songa songa \
Roho ju guide us Papa

A lot of obstacles along the way
I pray to the Father to guide my way
And bring on a big smile upon my face
Coz I've got a feeling I'll make it someday

Eyes on the price lazima nifike
And with God on my side lazima nishide
Uwo uwooo lazima ni fike fike
Uwo uwooo lazima nishinde


Coz I'm a soldier tuna tuna songa songa
Roho juu guide us Papa
Coz I'm a soldier tuna tuna songa songa
Roho juu guide us Papa