Heiyee Ebenezer
Pokea sifa, na utukufu na heshima
Upasuae maji kwenye jangwa
Ninakuinua Baba
Wanyonge unawapa nguvu wanyeyekevu unawainua
Wewe kweli Mungu ni wa ajabu
Ninakutukuza Baba
Ebenezer nakupa sifa pekee Yako Unastahili
Ebenezer nakupa sifa pekee Yako Unastahili
Nilalapo hata niamkapoUmekuwa mlinzi wangu
Kila wakati umeniongoza
Ninakutukuza Baba
Marafiki waliponiacha eti kwa sababu mimi nina shida
Ulikuwa mfariji wangu Baba
Ninakutukuza Baba
Ebenezer nakupa sifa pekee yako Uastahili
Ebenezer nakupa sifa Pekee yako Unastahili
Nakupa sifa yeii
Milele milele
UImeinuliwa juu Baba zaidi ya viumbe vyote
No comments:
Post a Comment