Twaliita jina lako
Kama vile ulivyotenda Baba, Miujiza kwa wana Israeli
Bahari ya Shama yasikiza, amri yake Mungu Baba
Kama vile ulivyotenda Baba, Miujiza kwa wana Israeli
Maji yatoka kwenye mwamba, amri yako Mungu baba
Tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu
Si ajabu ulisema kwamba, Wakifuata amri na njia zako
Magonjwa ya Misri yasiwafuate, amri yake Mungu baba
Si ajabu uliwapigania, vita vyao walipotoka Misri
Maadui wote wakashindwa kwa amri yako Mungu Baba
Tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu
Weh ni Mungu usiyebadilika, jana leo hata milele
Umetenda mema hapo awali tuna hakika utatutembelea
Weh ni Mungu usiyebadilika, jana leo hata milele
Umetenda mema hapo awali tuna hakika utatute
Tembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu
Tu tutembelee
Mungu Baba tunaomba tembee
Tu tutembelee
Kwani weh hubadiliki tembee
Tu tutembelee
Mwanga wangu wa neema tembee
Tu tu
No comments:
Post a Comment