Tuesday, 12 November 2013

Uwe Tayari by Alice Kamande


Bwana aja, arudi tena asema arudi  upesi
Sibaki nyuma jitayarishe, mienedo yako ibadilishe
Wachana na tama za walimwengu , ya dunia hayatakufaidi chochote

Chunga basi vipaji Muumba alivyokupa weh

Chunga basi ukiwa umesimama usije kaanguka
Yote yakiisha kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri YESU ni Bwana

 

Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari
Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari

Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari

Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari

 
Kama siku hizo za Nuhu walipuuza walipoambiwa  gharika na mvua zitafunika dunia nzima

Hivo basi tega sikio sikiza walio wake watateuliwa , wasio wake basi jehanamu

Wakati huu kuna neema, wakati huu kuna huruma njoo basi uokolewe upate maisha tele

Wakati ni sasa, wakati wakati ni sasa, wakati ni sasa kutoka kwenye nira za shetani

 

Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari
Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari
Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari
Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari

 

Heee heee akupate tayari akupate tayari
Akupate tayari akupate tayari

 

 

 

Mateke by Size 8


Heeee mateke eeh

Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mimi niko huru

Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru

 

Wengi walinitazama  wakidhani kuwa mimi niko sawa, pesa, magari, ma show kila mahali
Ukweli ni kuwa sikukuwa na amani, machozi kila mara huzuni kanijaa

Nilisunmbuka weh, nililia weh Nilisumbuka weh
Hapo ndipo Yesu

 

Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko huru

Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru

 

Huko nyumbani mashida zakwandama, stima maji hata bwana alienda
Marafiki nao wanakusema sema, hapa kule, ni wapi utaenda

Usilie weh usisumbuke weh , usilie weh sema nami sasa

 

Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mim niko huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mim niko huru

Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru

 

Nifinyange by Benachi



Ei eh ni heri nikufuate wewe, Ni he ni heri nikufaute wewe
Ni he ni heri nikufuate wewe we eh ni heri nikufuate wewe

 

Sema unachotaka nitende eeh aah, Unapotaka niende
Nitumie kama chombo chako ewe Maulana

Nataka tu kuwa nawewe mahali wewe ulipo
Maishani ,mwangu ninaomba uniangazie eh

Kwa pendo lako nikumbatie wouwo wowouuu



Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

 

Machozi yanijaa moyoni niktizama ninatokwa na machozi
Jinsi tuna saliti amri  vitendo mienedo vyetu haviambatani
Na tulshakiri si waKristo tumejawa na mapigo ju ya vyetu vitendo
EEeh ni heri ni we nawe unitoe kwenye tope la dhambi
Eh nakutumainia wewe Jalali

 

Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a

Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

 

Ei eh ni heri nikufuate wewe
Ei ye ye ni heri nikufuate wewe

Ni heri ni heri nikufuate wewe
Ei ye ye ni heri nikufuate wewe

Ei eh ni heri nikufuate wewe
Ei eh nibadilishe ee

 

Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

 

Wanajua , by Piston and Mwenye haki


Oooh oh oh, story wanajua, nikulenga tu, kulenga tu                
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu ni kulenga tu

 
Tangu wakiwa wachanga, oh ai, kupelekwa kanisa na mama, oh ai
Sunday skuli, kufundishwa tamaduni.
Wakisema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Waliosema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani

Kusoma neno la Bwana na kusahau, ni kama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu

Wakiwa barabarani, wakingoja bus,
Na wakiwa korokoroni wakingoja judge,
Hapakosi mtu hapo kando kuwaeleza haya mambo
Wakiwa sokoni wakiuza na kununua
Hapakosi mhubiri kuwaeleza ukweli
Wanamdismiss eti ni conman anataka sadaka zao
Wamesahau ni sauti yake Mungu kupitia nabii

Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , n ikulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu



Wakivaa mini sketi, wakiibia wamama vibeti
Wakiplay sara na betty, wakikunywa karibu kireti
Wakistagger stager, wakitoa dagger
Wakipull the trigger, ili wafanye murder
Wanajua wanachofanya, wanajua wanakosea

Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, nikulenga tu, nikulenga tu , nikulenga tu
Wanakujua, nikulenga tu , nikulenga tu

Friday, 26 July 2013

Heartbreaker lyrics , sung by MOG

It's so sad, everybody fall in love with his lies,
And it hurts, the more you wanna fall in love with JESUS CHRIST.
he came to me with his wand shining like an angel,
he came to me with so many lies on a silver platter,
he also came to me with a lot of empty promises
he came to me and sorrow bit me like a fly
If you believe then the pain is over,
I'm more oh my GOD you won the war and satan is a loser


he's a heartbreaker, breaker, breaker,
he gonna he gonna put you in pain and drive you insane
he's a heartbreaker, breaker, breaker,
tacha chinguma chinguma chinguma

I'm more even though you broke my heart so badly,
I'm more im such a glad You are in my life
Since Imet Him, I don't know what He's done to meee
Since I met him my feeling in my body everything  is fine
he used to break mi hearty, right now not anymore,
See I believe in one thing today, tomorrow and forever more
Its only YOU YOU can take my pain away
Its only YOU YOU can take my pain away,
Only YOU

he's a heart breaker, breaker, breaker,
he gonna he gonna put you in pain and drive you insane
he's a heart breaker, breaker, breaker,
tacha chinguma chinguma chinguma

na na na na na n a na tu tu tu turuu
Yanomba umutima wanjeee
Yanomba umutima wanjeee
he gona put you in pain and drive you insane

Thursday, 18 July 2013

Naomba Lyrics , sung by Adawnage Band

Naomba Baba, minaomba, mikono nimeinua
Nishike Baba, unifiche eh, mikononi mwako
Nionyeshe Baba wema wako, unifanye chombo chako,
Ninaomba, naomba, Baba mie naomba


Sikudhani mimi, nimekupa weh huzuni kiasi hicho,
Dhambi nyingi, maombi hayatoki nisamehe Baba
Uchovu na uvivu umenijaza moyoni sina amani,
Naomba unipe raha, msamaha, naomba uwashe taa


Popote niendapo chochote nifanyacho sasa nifungue macho,
Nipate kuona na kuhisi, nipate upako wako


Naomba Baba, minaomba, mikono nimeinua
Nishike Baba, unifiche eh, mikononi mwako
Nionyeshe Baba wema wako, unifanye chombo chako,
Ninaomba, naomba, Baba mie naomba


Sikudhani mimi, nikiteleza ah, nakusulubu tena
Uchungu mingi machozi yakutoka weh, nisamehe Baba,
Nizibie ufa nisijenge ukuta Bwana, umetukuka
Naomba unipe raha,msamaha, naomba uwashe taa


Popote niendapo chochote nifanyacho sasa nifungue macho,
Nipate kuona na kuhisi, nipate upako wako


Naomba Baba, minaomba, mikono nimeinua
Nishike Baba, unifiche eh, mikononi mwako
Nionyeshe Baba wema wako, unifanye chombo chako,
Ninaomba, naomba, Baba mie naomba

Eeeee iii eeeh, Baba mie naomba



Wednesday, 17 July 2013

Nakungoja lyrics , Mercy D Lai

Ninapokuamini unanipa amani, ulinipenda toka zamani, ukanipa penzi tamu kama asali
Ndiyo maana ntakutunza kama asali, wewe ndiwe nangoja ,
Nasubiri siku nitakuona, ninangoja sana,
Siku minitakuona

Twakungoja, wewe ndiwe waweza wajua hatungoji mwingine
Hatungoji mwingine(Echo)
Siku moja, wewe utatubeba wajua hatujui mwingine
Hatujui mwingine (Echo)

Nionyeshe njia Baba, Kama nimepotea rejesha BABA
Rejesha Baba(Echo)
Nifunze kukutegemea nisiaibike
Niongoze hadi nifike, Ili nisije nikapotea,
Unionyeshe hadi nione
Ili nione( Echo)


Twakungoja, wewe ndiwe waweza wajua hatungoji mwingine
Hatungoji mwingine(Echo)
Siku moja, wewe utatubeba wajua hatujui mwingiune
Hatujui mwingine (Echo)

Sitachoka kungoja, sitachoka kungoja, sitachoka kungoja
Hadi tuwe pamoja aa aa
Sitachoka kungoja, sitachoka kungoja, sita choka kungoja
Mi na weh moja kwa moja


Twakungoja, wewe ndiwe waweza wajua hatungiji mwingine
Hatungoji mwingine(Echo)
Siku moja, weweutatubeba wajua hatujui mwingiune
Hatujui mwingine (Echo)



Just a way lyrics , sung by Kaberere and Mr. Vee

From the first day I met You, sijawahi lala njaa, umenishugulikia,
From the first day I met You, sijalala na kiu umekuwa maji ya uzima,
From the first day I met You, sijapigwa na baridi blanketi umenipa,
First day I met You umenipenda na mambo yangu mengi.

Aaaah ulinipenda kwanza kabla nikujue eeeh
Ulinipenda kwanza kabla nikupende eeeh,
Nilipokujua hapo nikatambua milele nitakuinua,
Pendo laki sure nami naamua,nitakupenda pia


It is just a way, a way to show how much I love YOU,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.

Adui weewe, umekuwa kizuizi maishani,
Adui wewe wataka nikose mimi taji ya uzima,
Adui weewe ulishindwa miaka iliyopita, aaah
Kalivari aliposema yamekwisha.

Elohi Elohi lama sabaritani
Mawe walitupa, mate kukutemea pia,
Mkuki ubavuni, maji yakamwagika
Damu ulivuja ili nipate uzima

It is just a way, a way to show how much I love YOU,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.
It is just a way, a way to show how much I love You,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.

It is a way a way for me to show how much I love You
Ni njia yakusema asante

It is just a way, a way to show how much I love You,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.
It is just a way, a way to show how much I love You,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.
It is just a way, a way to show how much I love YOU,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.
It is just a way, a way to show how much I love YOU,
Ni njia ya kusema jinsi mimi ninavyo kupenda.

I love You, I love You, I love You,
Ni njia yakusema.....










Jambo Kenya

Alot has been said on our local gospel music, from the lack of message in our songs, to the money motive behind the singers in the industry, to the controversy of using secular beats in gospel music.
On this blog we aim to shift the focus from the controversies and negativity to the message in the music. The message is in tyhe lyrics. Generally when we focus on one aspect of things, be it conflict or our trials we often make wrong conclusions, but when we get the full picture we are able to understand it well. Most people judge a song by just one line but here you will access the full song, and be able to get the whole story thus understand it better.
Also, we know that no one is perfect and surely, if God were to use perfect people, He would use no one. It is possible that though some singers have weaknesses that have been published in media causing people to dismiss their songs, through these blog you can focus on the message and shift attention from the singer to the message after all, God needs to increase as the singer decreases.
I am a proud Kenyan and local songs are among my favorite, whlile i have interacted with Kenyans who are so anti Kenyan gospel music claiming its "shallowness", here the lyrics will prove to you that there are plenty of Kenyan songs that are very very deep.
Your corrections to errors in lyrics are welcome and so are your additional information on where the music can be bought and albums too.
Yours truly
Carmilla Dhahabu