Oooh oh oh, story
wanajua, nikulenga tu, kulenga tu
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu ni kulenga tu
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu ni kulenga tu
Sunday skuli, kufundishwa tamaduni.
Wakisema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Waliosema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Kusoma neno la Bwana na kusahau, ni kama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Hapakosi mhubiri kuwaeleza ukweli
Wanamdismiss eti ni conman anataka sadaka zao
Wamesahau ni sauti yake Mungu kupitia nabii
Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , n ikulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wakivaa mini sketi, wakiibia wamama vibeti
Wakiplay sara na betty, wakikunywa karibu kireti
Wakistagger stager, wakitoa dagger
Wakipull the trigger, ili wafanye murder
Wanajua wanachofanya, wanajua wanakosea
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wakiwa barabarani, wakingoja bus,
Na wakiwa korokoroni wakingoja judge,
Hapakosi mtu hapo kando kuwaeleza haya mambo
Wakiwa sokoni wakiuza na kununuaNa wakiwa korokoroni wakingoja judge,
Hapakosi mtu hapo kando kuwaeleza haya mambo
Hapakosi mhubiri kuwaeleza ukweli
Wanamdismiss eti ni conman anataka sadaka zao
Wamesahau ni sauti yake Mungu kupitia nabii
Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , n ikulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wakivaa mini sketi, wakiibia wamama vibeti
Wakiplay sara na betty, wakikunywa karibu kireti
Wakistagger stager, wakitoa dagger
Wakipull the trigger, ili wafanye murder
Wanajua wanachofanya, wanajua wanakosea
Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa
No comments:
Post a Comment