Tuesday, 12 November 2013

Wanajua , by Piston and Mwenye haki


Oooh oh oh, story wanajua, nikulenga tu, kulenga tu                
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu ni kulenga tu

 
Tangu wakiwa wachanga, oh ai, kupelekwa kanisa na mama, oh ai
Sunday skuli, kufundishwa tamaduni.
Wakisema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Waliosema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani

Kusoma neno la Bwana na kusahau, ni kama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu

Wakiwa barabarani, wakingoja bus,
Na wakiwa korokoroni wakingoja judge,
Hapakosi mtu hapo kando kuwaeleza haya mambo
Wakiwa sokoni wakiuza na kununua
Hapakosi mhubiri kuwaeleza ukweli
Wanamdismiss eti ni conman anataka sadaka zao
Wamesahau ni sauti yake Mungu kupitia nabii

Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , n ikulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu



Wakivaa mini sketi, wakiibia wamama vibeti
Wakiplay sara na betty, wakikunywa karibu kireti
Wakistagger stager, wakitoa dagger
Wakipull the trigger, ili wafanye murder
Wanajua wanachofanya, wanajua wanakosea

Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, nikulenga tu, nikulenga tu , nikulenga tu
Wanakujua, nikulenga tu , nikulenga tu

No comments:

Post a Comment