Ei eh ni heri nikufuate wewe, Ni he ni heri nikufaute wewe
Ni he ni heri nikufuate wewe we eh ni heri nikufuate wewe
Sema unachotaka nitende eeh aah, Unapotaka niende
Nitumie kama chombo chako ewe Maulana
Nataka tu kuwa nawewe mahali wewe ulipo
Maishani ,mwangu ninaomba uniangazie ehKwa pendo lako nikumbatie wouwo wowouuu
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Machozi yanijaa moyoni niktizama ninatokwa na machozi
Jinsi tuna saliti amri
vitendo mienedo vyetu haviambatani
Na tulshakiri si waKristo tumejawa na mapigo ju ya vyetu
vitendo
EEeh ni heri ni we nawe unitoe kwenye tope la dhambi
Eh nakutumainia wewe Jalali
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka aUniite Baba eh, nitume yei ye yee
Ei ye ye ni heri nikufuate wewe
Ni heri ni heri nikufuate wewe
Ei ye ye ni heri nikufuate wewe
Ei eh ni heri nikufuate wewe
Ei eh nibadilishe ee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
No comments:
Post a Comment