Heeee mateke eeh
Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko
huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mimi niko
huruTeke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru
Wengi walinitazama
wakidhani kuwa mimi niko sawa, pesa, magari, ma show kila mahali
Ukweli ni kuwa sikukuwa na amani, machozi kila mara huzuni
kanijaa
Nilisunmbuka weh, nililia weh Nilisumbuka weh
Hapo ndipo Yesu
Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko
huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko
huruTeke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru
Huko nyumbani mashida zakwandama, stima maji hata bwana
alienda
Marafiki nao wanakusema sema, hapa kule, ni wapi utaendaUsilie weh usisumbuke weh , usilie weh sema nami sasa
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mim niko
huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mim niko
huru
Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru
No comments:
Post a Comment