Tuesday, 12 November 2013

Uwe Tayari by Alice Kamande


Bwana aja, arudi tena asema arudi  upesi
Sibaki nyuma jitayarishe, mienedo yako ibadilishe
Wachana na tama za walimwengu , ya dunia hayatakufaidi chochote

Chunga basi vipaji Muumba alivyokupa weh

Chunga basi ukiwa umesimama usije kaanguka
Yote yakiisha kila goti litapigwa na kila ulimi utakiri YESU ni Bwana

 

Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari
Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari

Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari

Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari

 
Kama siku hizo za Nuhu walipuuza walipoambiwa  gharika na mvua zitafunika dunia nzima

Hivo basi tega sikio sikiza walio wake watateuliwa , wasio wake basi jehanamu

Wakati huu kuna neema, wakati huu kuna huruma njoo basi uokolewe upate maisha tele

Wakati ni sasa, wakati wakati ni sasa, wakati ni sasa kutoka kwenye nira za shetani

 

Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari
Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari
Weka nguo zako ziwe safi Yesu akija uwe tayari
Weka taa yako iwe nuru Yesu akija akupate tayari

 

Heee heee akupate tayari akupate tayari
Akupate tayari akupate tayari

 

 

 

Mateke by Size 8


Heeee mateke eeh

Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mimi niko huru

Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru

 

Wengi walinitazama  wakidhani kuwa mimi niko sawa, pesa, magari, ma show kila mahali
Ukweli ni kuwa sikukuwa na amani, machozi kila mara huzuni kanijaa

Nilisunmbuka weh, nililia weh Nilisumbuka weh
Hapo ndipo Yesu

 

Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sababau ya mateke mimi niko huru

Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru

 

Huko nyumbani mashida zakwandama, stima maji hata bwana alienda
Marafiki nao wanakusema sema, hapa kule, ni wapi utaenda

Usilie weh usisumbuke weh , usilie weh sema nami sasa

 

Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mim niko huru
Yesu, amempiga shetani mateke, sbabau ya mateke mim niko huru

Teke, teke, teke, sababu ya mateke mimi niko huru

 

Nifinyange by Benachi



Ei eh ni heri nikufuate wewe, Ni he ni heri nikufaute wewe
Ni he ni heri nikufuate wewe we eh ni heri nikufuate wewe

 

Sema unachotaka nitende eeh aah, Unapotaka niende
Nitumie kama chombo chako ewe Maulana

Nataka tu kuwa nawewe mahali wewe ulipo
Maishani ,mwangu ninaomba uniangazie eh

Kwa pendo lako nikumbatie wouwo wowouuu



Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

 

Machozi yanijaa moyoni niktizama ninatokwa na machozi
Jinsi tuna saliti amri  vitendo mienedo vyetu haviambatani
Na tulshakiri si waKristo tumejawa na mapigo ju ya vyetu vitendo
EEeh ni heri ni we nawe unitoe kwenye tope la dhambi
Eh nakutumainia wewe Jalali

 

Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a

Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

 

Ei eh ni heri nikufuate wewe
Ei ye ye ni heri nikufuate wewe

Ni heri ni heri nikufuate wewe
Ei ye ye ni heri nikufuate wewe

Ei eh ni heri nikufuate wewe
Ei eh nibadilishe ee

 

Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee
Nifinyange baba unijenge unvyotaka a
Uniite Baba eh, nitume yei ye yee

 

Wanajua , by Piston and Mwenye haki


Oooh oh oh, story wanajua, nikulenga tu, kulenga tu                
Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu ni kulenga tu

 
Tangu wakiwa wachanga, oh ai, kupelekwa kanisa na mama, oh ai
Sunday skuli, kufundishwa tamaduni.
Wakisema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani
Waliosema memory verse, pale mbele madhabahuni
Sasa ni wahuni wape makuhani

Kusoma neno la Bwana na kusahau, ni kama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , ni kulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu

Wakiwa barabarani, wakingoja bus,
Na wakiwa korokoroni wakingoja judge,
Hapakosi mtu hapo kando kuwaeleza haya mambo
Wakiwa sokoni wakiuza na kununua
Hapakosi mhubiri kuwaeleza ukweli
Wanamdismiss eti ni conman anataka sadaka zao
Wamesahau ni sauti yake Mungu kupitia nabii

Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, ni kulenga tu, ni kulenga tu , n ikulenga tu
Wanakujua, ni kulenga tu , ni kulenga tu



Wakivaa mini sketi, wakiibia wamama vibeti
Wakiplay sara na betty, wakikunywa karibu kireti
Wakistagger stager, wakitoa dagger
Wakipull the trigger, ili wafanye murder
Wanajua wanachofanya, wanajua wanakosea

Kusoma neno la Bwana na kusahau, nikama kujiangalia kwa kioo
Na kusahau unavyokaa, unavyokaa

Wanajua, nikulenga tu, nikulenga tu , nikulenga tu
Wanakujua, nikulenga tu , nikulenga tu