Tuesday, 10 November 2015

Lyrics to Imani by Taji

Iye iye iye ee eeh
Iye iye iye ee eeh
Iye iye iye ee eeh




Upendo wake mwenyezi wanizunguka
Waniinua na kunipa mabawa
Yeye hunilaza penye maji matamu huniweka salama
Yaje mawimbi yanayonitingisha
Siogopi mie siogopi
Hata nipatane na maadui wanaonitngisha
Mimi sibabaiki


Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana

Walisema mimi sitoweza kuwa  mimi nitaangamia walinshangaa
Wakarudia kuwa kuwa huyu hana lake maskini wa Mungu watashangaa
Hawakutegemea uwezo wake Mwenyezi
Na upendo wake kwa walio wanyonge
Hawakutegemea uwezo wake Mwenyezi
Na upendo wake kwa walio wanyonge

Nina imani kuwa yoyte yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana


Nina imani nina imani
Nina imani ooh oh
Nina imani nina imani
Nina imani kuwa yote yoteee
Ah yawezekana
Hakuna lolote limshimadalo bwana
Yote yote yote

Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina mani kuwa yote yawezaana
Nikiwa na Mola yote yawezekana

No comments:

Post a Comment