Tuesday, 10 November 2015

Lyrics to Imani by Taji

Iye iye iye ee eeh
Iye iye iye ee eeh
Iye iye iye ee eeh




Upendo wake mwenyezi wanizunguka
Waniinua na kunipa mabawa
Yeye hunilaza penye maji matamu huniweka salama
Yaje mawimbi yanayonitingisha
Siogopi mie siogopi
Hata nipatane na maadui wanaonitngisha
Mimi sibabaiki


Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana

Walisema mimi sitoweza kuwa  mimi nitaangamia walinshangaa
Wakarudia kuwa kuwa huyu hana lake maskini wa Mungu watashangaa
Hawakutegemea uwezo wake Mwenyezi
Na upendo wake kwa walio wanyonge
Hawakutegemea uwezo wake Mwenyezi
Na upendo wake kwa walio wanyonge

Nina imani kuwa yoyte yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana


Nina imani nina imani
Nina imani ooh oh
Nina imani nina imani
Nina imani kuwa yote yoteee
Ah yawezekana
Hakuna lolote limshimadalo bwana
Yote yote yote

Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina mani kuwa yote yawezaana
Nikiwa na Mola yote yawezekana

Sunday, 8 November 2015

Lyrics to Zaburi moja by Fred Obare



Katika njia zako zote mkiri Bwana Yesu
Naye atayanyosha wewe mapito yako

Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki eh
Wala kusimama katika njia ya wakosaji
Pia hakuketi barazani pa wenye mizaha eeh

Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki eh
Wala kusimama katika njia ya wakosaji
Tena hakuketi barazani pa wenye mizaha eeh

Kwani sheria ya Bwana ndiyo impendezayo
Yeye huitafakari mchana na usiku eh

Naye atakua kama mti uliopandwa kando kando ya vijito
Vijito vya maji uzaao matunda yake kwa majira yake
Wala jani lake yeye halinyauki
Na kila alitendalo yeye litafanikiwa eeh

Naye atakua kama mti uliopandwa kando kando ya vijito
Vijito vya maji uzaao matunda yake kwa majira yake
Wala jani lake yeye halinyauki
Na kila alitendalo yeye litafanikiwa eeh

Sivyo walivyo wale wasio haki eh
Wao ni kama makabi eeh
Yapeperushwayo na upepo
Na kwa hivyo wale wasio haki eh
Hawatasimama hukumuni eh
Wala katika mkusanyiko wa wenye haki eeh

Sivyo walivyo wale wasio haki eh
Wao ni kama makabi eeh
Yapeperushwayo na upepo
Na kwa hivyo wale wasio haki eh
Hawatasimama hukumuni eh
Wala katika mkusanyiko wa wenye haki eeh


Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki
Kwani njia ya wasio haki litapotea
Katika njia zako zote mkiri yeye
Naye atayanyosha wewe mapito yako

Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki
Kwani njia ya wasio haki litapotea
Katika njia zako zote mkiri yeye
Naye atayanyosha wewe mapito yako


Monday, 2 November 2015

Uvumilivu by Piston

Nilisikia sauti yako ikiniita
Mwana wangu njoo njoo ninakuita
Nikaachana na ya dunia nikaokoka
Sikujua kuna uwezekano ooh ooh

Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Ndyo maana naomba nipee

Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu
Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu

Nilidhani nikifikisha miaka ishirini na mbili
Nitakuwa na gari nzuri na nyumba nzuri na pengine bibi
Nilidhani nikifungua biashara Nairobi mjini
Nitapata wateja wengi nitapata faida nyingi
Nimebaki na alama ya mshangao akilini
Kila siku kwa maombi nauliza mbona mimi

Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Ndyo maana naomba nipee

Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu
Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu

Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kama wajua nasema ukweli inua mikono na kusema


Tuesday, 24 March 2015

liwe by guardian angel

Tick tock time inasonga yo
Nipe time nipate bonga yo
Nachoka ku marktime wenzangu wakisonga
Nakonda wakinona mmmh
Eh baba kama Batimayo niko hapa
Nashindwa kujitupa  kwenye mwamba ,
Macho yangu yapate kuona

Sometimes na wonder mbona maisha chungu ka kidonda
Mawazo mi na ponda kumbe kuna jambo mi sijatenda

Utavuna ulichokipanda
Ukipiga magoti utapata baraka baraka
Utavuna ulichokipanda
Gonga mlango moja itafunguka

Ukiomba samaki hupewi mawe
Anasema njoo tusemezane nawe
Omba utakalo na liwe
Liwe liwe liwe liwe liwe liwe
Omba utakalo na liwe

Ukitaka usamehewe , uinuliwe,
Ukitaka ubarikiwe
Omba utakalo na liwe

Utavuna ulichokipnada
Ukipiga magoti utapata baraka baraka
Utavuna ulichokipanda
Ukigonga mlango moja itafunguka funguka

Omba utakalo na liwe



Tuesday, 27 January 2015

lyrics to Usikonde by Mr. Seed

Usikonde konde
Usikonde konde

Mama umelia kwa muda mrefu
Una wonder ni nini ulifanya unateseka
My brother you think that your life has no meaning
From the day she heart broke you
You think that your life has no meaning

Na Mungu Baba anakupenda
Hawezi kukuwacha
Katika milima na mabonde eh hawezi kukuwacha
Na Mungu Baba anakupenda
Hawezi kukuwacha
Katika milima na mabonde eh hawezi kukuwacha
Mshikilie unajua ni yeye pekeee
Mshikilie kwenye giza na kwenye mwangaza
Mshikilie unajua ni yeye pekeee
Mshikilie kwenye giza na kwenye mwangaza

Usikonde no Baba anakuangalia
Usikonde no Baba atakushikilia
Yuko bumper na wewe
Na hawezi kukuachilia
Nasema bumper na wewe na hawezi kukuachilia

Dada umesoma umemaliza hule
Na sasa kazi unatafuta haipatikani
My brother familia yako imevunjika
Na bado marafiki wako wote wamekutoroka

Kila siku unawaza kila siku maishani unawaza
Ni nini ulifanya mbaya
Ndyo maisha yako haya yaenda mrama
Kila siku unawaza
Kila siku maishani unawaza
Ni ni nini ulifanya mbaya
Ndyo maisha yako haya yanaenda mrama

Usikonde no Baba anakuangalia
Usikonde no Baba atakushikilia
Yuko bumper na wewe
Na hawezi kukuachilia
Nasema bumper na wewe na hawezi kukuachilia

Tulia ukiwa naye mambo yote iko shwari
Mi nasema
Tulia ukiwa na yeye maishani hutaangamia
Eh eh
Tulia ukiwa naye mambo yote iko shwari
Mi nasema
Tulia ukiwa na yeye maishani hutaangamia
Halleluya ya halleluya halleluya

Usikonde no Baba anakuangalia
Usikonde no Baba atakushikilia
Yuko bumper na wewe
Na hawezi kukuachilia
Nasema bumper na wewe na hawezi kukuachilia


Thursday, 15 January 2015

Tukuza milele lyrics by Cal and Aliwah

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

The Bible says rejoice and rejoice
And again I say rejoice
Kila kitu ndani yangu kikupe sifa
Maisha yangu yote eh Baba yangu
Nitakupa sifa

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

The book of James chapter 1 and verse 2
Consider it all joy when you face all things
Shida zikija mwamini huyu Yesu
Mashida yakija mwimbie huyu Bwana

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

Roho yangu nakupa Bwana
Tawala Bwana milele na milele
Milele na milele nitakusifu
Milele na milele nitakupa sifa

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

French verse misssing*

Imba halleluya ah donso Halleluya
halleluya ah donso Halleluya
halleluya ah donso Halleluya
halleluya ah donso Halleluya

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele