Tuesday, 27 January 2015

lyrics to Usikonde by Mr. Seed

Usikonde konde
Usikonde konde

Mama umelia kwa muda mrefu
Una wonder ni nini ulifanya unateseka
My brother you think that your life has no meaning
From the day she heart broke you
You think that your life has no meaning

Na Mungu Baba anakupenda
Hawezi kukuwacha
Katika milima na mabonde eh hawezi kukuwacha
Na Mungu Baba anakupenda
Hawezi kukuwacha
Katika milima na mabonde eh hawezi kukuwacha
Mshikilie unajua ni yeye pekeee
Mshikilie kwenye giza na kwenye mwangaza
Mshikilie unajua ni yeye pekeee
Mshikilie kwenye giza na kwenye mwangaza

Usikonde no Baba anakuangalia
Usikonde no Baba atakushikilia
Yuko bumper na wewe
Na hawezi kukuachilia
Nasema bumper na wewe na hawezi kukuachilia

Dada umesoma umemaliza hule
Na sasa kazi unatafuta haipatikani
My brother familia yako imevunjika
Na bado marafiki wako wote wamekutoroka

Kila siku unawaza kila siku maishani unawaza
Ni nini ulifanya mbaya
Ndyo maisha yako haya yaenda mrama
Kila siku unawaza
Kila siku maishani unawaza
Ni ni nini ulifanya mbaya
Ndyo maisha yako haya yanaenda mrama

Usikonde no Baba anakuangalia
Usikonde no Baba atakushikilia
Yuko bumper na wewe
Na hawezi kukuachilia
Nasema bumper na wewe na hawezi kukuachilia

Tulia ukiwa naye mambo yote iko shwari
Mi nasema
Tulia ukiwa na yeye maishani hutaangamia
Eh eh
Tulia ukiwa naye mambo yote iko shwari
Mi nasema
Tulia ukiwa na yeye maishani hutaangamia
Halleluya ya halleluya halleluya

Usikonde no Baba anakuangalia
Usikonde no Baba atakushikilia
Yuko bumper na wewe
Na hawezi kukuachilia
Nasema bumper na wewe na hawezi kukuachilia


Thursday, 15 January 2015

Tukuza milele lyrics by Cal and Aliwah

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

The Bible says rejoice and rejoice
And again I say rejoice
Kila kitu ndani yangu kikupe sifa
Maisha yangu yote eh Baba yangu
Nitakupa sifa

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

The book of James chapter 1 and verse 2
Consider it all joy when you face all things
Shida zikija mwamini huyu Yesu
Mashida yakija mwimbie huyu Bwana

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

Roho yangu nakupa Bwana
Tawala Bwana milele na milele
Milele na milele nitakusifu
Milele na milele nitakupa sifa

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele

French verse misssing*

Imba halleluya ah donso Halleluya
halleluya ah donso Halleluya
halleluya ah donso Halleluya
halleluya ah donso Halleluya

Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele
Tukuza tukuza tukuza milele