Wednesday, 5 November 2014

shuka by eunice njeri

Shuka utendee YESU Kenya tunakungoja
Shuka utendee YESU watu tunakungoja

Oooh na
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone

Jamii zilizotengana mayatima Baba
Viumbe vyote Yahweh wote tunakungoja
Jamii zilizotengana mayatima Baba
Nena neno moja wote tunakungoja

Heh na
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba

Wajane na wagonjwa matajiri wote
Dunia nzima Yaweh wote tunakungoja
Nena kwa sauti nena lako
Tutayari kusikiza wote tunakungoja

Ndio na
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba


Kama siku siku ya Pentekote
Shuka na moto wako ututembelee
Oh kama siku siku ya Pentekote
Shuka na moto wako ututembelee

Baba
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Hapa hatutoki Baba hadi tukuone
Wala hatutasinzia hadi Tukuone
Shuka eeeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba shuka eeh
Shuka Baba