Tuesday, 10 November 2015

Lyrics to Imani by Taji

Iye iye iye ee eeh
Iye iye iye ee eeh
Iye iye iye ee eeh




Upendo wake mwenyezi wanizunguka
Waniinua na kunipa mabawa
Yeye hunilaza penye maji matamu huniweka salama
Yaje mawimbi yanayonitingisha
Siogopi mie siogopi
Hata nipatane na maadui wanaonitngisha
Mimi sibabaiki


Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana

Walisema mimi sitoweza kuwa  mimi nitaangamia walinshangaa
Wakarudia kuwa kuwa huyu hana lake maskini wa Mungu watashangaa
Hawakutegemea uwezo wake Mwenyezi
Na upendo wake kwa walio wanyonge
Hawakutegemea uwezo wake Mwenyezi
Na upendo wake kwa walio wanyonge

Nina imani kuwa yoyte yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana


Nina imani nina imani
Nina imani ooh oh
Nina imani nina imani
Nina imani kuwa yote yoteee
Ah yawezekana
Hakuna lolote limshimadalo bwana
Yote yote yote

Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina imani kuwa yote yawezekana
Nikiwa na Mola yote yawezekana
Nina mani kuwa yote yawezaana
Nikiwa na Mola yote yawezekana

Sunday, 8 November 2015

Lyrics to Zaburi moja by Fred Obare



Katika njia zako zote mkiri Bwana Yesu
Naye atayanyosha wewe mapito yako

Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki eh
Wala kusimama katika njia ya wakosaji
Pia hakuketi barazani pa wenye mizaha eeh

Heri mtu yule asiyekwenda
Katika shauri la wasio haki eh
Wala kusimama katika njia ya wakosaji
Tena hakuketi barazani pa wenye mizaha eeh

Kwani sheria ya Bwana ndiyo impendezayo
Yeye huitafakari mchana na usiku eh

Naye atakua kama mti uliopandwa kando kando ya vijito
Vijito vya maji uzaao matunda yake kwa majira yake
Wala jani lake yeye halinyauki
Na kila alitendalo yeye litafanikiwa eeh

Naye atakua kama mti uliopandwa kando kando ya vijito
Vijito vya maji uzaao matunda yake kwa majira yake
Wala jani lake yeye halinyauki
Na kila alitendalo yeye litafanikiwa eeh

Sivyo walivyo wale wasio haki eh
Wao ni kama makabi eeh
Yapeperushwayo na upepo
Na kwa hivyo wale wasio haki eh
Hawatasimama hukumuni eh
Wala katika mkusanyiko wa wenye haki eeh

Sivyo walivyo wale wasio haki eh
Wao ni kama makabi eeh
Yapeperushwayo na upepo
Na kwa hivyo wale wasio haki eh
Hawatasimama hukumuni eh
Wala katika mkusanyiko wa wenye haki eeh


Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki
Kwani njia ya wasio haki litapotea
Katika njia zako zote mkiri yeye
Naye atayanyosha wewe mapito yako

Kwa kuwa Bwana anaijua njia ya wenye haki
Kwani njia ya wasio haki litapotea
Katika njia zako zote mkiri yeye
Naye atayanyosha wewe mapito yako


Monday, 2 November 2015

Uvumilivu by Piston

Nilisikia sauti yako ikiniita
Mwana wangu njoo njoo ninakuita
Nikaachana na ya dunia nikaokoka
Sikujua kuna uwezekano ooh ooh

Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Ndyo maana naomba nipee

Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu
Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu

Nilidhani nikifikisha miaka ishirini na mbili
Nitakuwa na gari nzuri na nyumba nzuri na pengine bibi
Nilidhani nikifungua biashara Nairobi mjini
Nitapata wateja wengi nitapata faida nyingi
Nimebaki na alama ya mshangao akilini
Kila siku kwa maombi nauliza mbona mimi

Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Ndyo maana naomba nipee

Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu
Nipe uvumilivu Nipe uvumilivu

Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kuwachana na njia zako na kupotoka
Kuna uwezekano wa binadmu kuchoka
Kama wajua nasema ukweli inua mikono na kusema